Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa
majengo ya Shule ya Sekondari ya
Tunduru mkoani Ruvuma, Januari 2, 2021.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama darasa
lililokarabatiwa wakati alipokagua ukarabati wa majengo ya Shule ya Sekondari
ya Tunduru mkoani Ruvuma, Januari 2,
2021.

Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama moja ya meza zinazotumiwa na wanafunzi katika
madarati alipokagua ukarabati wa Shule
ya Sekondari ya Tunduru mkoani Ruvuma, Januari 2, 2021. Wa Pili kushoto ni Mkewe Mary Majaliwa na wa
tatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme. Kushoto ni Mbunge wa Tunduru
Kusini, Daimu Mpakate na kulia ni Mkuu wa Shule hiyo, Amini Limia.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya
kukagua ukarabati wa majengo ya Shule ya Sekondari ya Tunduru Mkoani Ruvuma,
Januari 2, 2021. Kulia ni Mkewe Mary na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,
Christina Mndeme.

Moja kati ya majengo ya Shule ya Sekondari ya
Tunduru ambayo yamekarabatiwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ukarabati
huo, Januari 2, 2021.

Mke wa
Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akipanda mti baada ya Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa kukagua ukarabati wa majengo ya
Shule ya Sekondari ya Tunduru Mkoani Ruvuma, Januri 2, 2021.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na
wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Tunduru Mkoani Ruvuma kabla ya kukgua
ukarabati wa majengo ya Shule hiyo, Januari 2, 2021. Wa pili kulia ni Mkuu wa
Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme.
0 Comments