Kiongozi wa Tigray Debretsion Gebremichael ameapa kuendelea na mapigano dhidi ya vikosi vya serikali kuu ya addis Ababa na kufutilia mbali makataa ya kujisalimisha yaliyotolewa hivi karibuni na Waziri Mkuu Abiy Ahmed.
Kiongozi wa Tigray Debretsion Gebremichael ameapa kuendelea na mapigano dhidi ya vikosi vya serikali kuu ya addis Ababa na kufutilia mbali makataa ya kujisalimisha yaliyotolewa hivi karibuni na Waziri Mkuu Abiy Ahmed.
0 Comments